Dodoma FM
waandishi wa habari
31 August 2021, 12:31 pm
Wahandisi 17 wachukuliwa hatua mbalimbali za kisheria kwa kukiuka maadili na tar…
Na; Mariam Matundu. Wahandisi 17 wamechukuliwa hatua mbalimbali za kisheria kwa kukiuka maadili na taratibu za taaluma yao kwa kipindi cha mwaka wa fedha 2020/2021. Hayo yamesemwa jijini Dodoma na Msajili wa Bodi ya Usajili ya Wahandisi (ERB), Mhandisi Patrick…