viwanda
11 July 2022, 1:46 pm
Wilaya ya Mpwapwa yapongezwa kwa kufanya vizuri katika anuani za makazi
Na; Alfred Bulahya. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Bunge na Uratibu Mhe. Geroge Simbachawene amepongeza Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa kwa kutekeleza vizuri zoezi la anwani za makazi. Waziri Simbachawene ameyasema hayo wakati wa ziara yake ya…
9 June 2022, 3:20 pm
Umbali wa Vitongoji Ovada wachelewesha zoezi la anuani za makazi
Na; Benard Filbert. Umbali wa vitongoji katika kata ya Ovada wilayani Chemba imetajwa kuwa changamoto iliyosababisha zoezi la anuani za makazi kutokukamilika kwa wakati katika eneo hilo. Hayo yameelezwa na diwani wa kata ya Ovada Bwana Raphael Reda wakati akizungumza…
2 May 2022, 3:21 pm
Chemba yafikia asilimia 88% Anuani za makazi
Na; Selemani Kodima. Wakati zoezi la Ukusanyaji wa taarifa za namba za anwani za Makazi likitegemewa kufika Tamati Mei 30, Wilaya ya Chemba imefika lengo katika zoezi la ukusanyaji wa taarifa za anwani za makazi kwa kukusanya taarifa 72958 Sawa…
27 May 2021, 2:53 pm
Serikali yaweka mkakati ujenzi wa viwanda ili kupunguza Tatizo la ajira Nchini
Na; Yussuph Hans. Kufuatia changamoto ya upatikanaji wa Ajira kwa Wahitimu Nchini, Serikali inaweka utaratibu mzuri ikiwemo mkakati wa ujenzi wa viwanda ambao utasaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza changamoto hiy Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Waziri Mkuu wa…