Dodoma FM
vipimo
20 May 2021, 2:31 pm
Wakala wa vipimo wafanya ukaguzi wa mizani Jijini Dodoma
Na;MARIAM MATUNDU. Ikiwa leo ni siku ya vipimo Duniani wakala wa vipimo Mkoani Dodoma wametembelea na kufanya ukaguzi wa mizani katika maeneo ya hospitali na sehemu za kufanyia mazoezi. Akizungumza katika ukaguzi huo kaimu meneja wa wakala wa vipimo Mkoa…