Dodoma FM

vilio na simanzi

20 March 2021, 10:11 am

Simanzi na Vilio vyatanda jijini Dar es salaam

Na, Mariam Kasawa. Maelfu ya wakazi wa Mkoa wa Dar es Salaam wakiongozwa na viongozi mbalimbali wa Serikali ya Awamu ya Tano pamoja na viongozi wastaafu wa Serikali zilizopita wamefika Uwanja wa Uhuru kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Rais…