Dodoma FM

Vifungashio

17 March 2021, 2:09 pm

Baadhi ya sekta kuokoka na marufuku ya vifungashio vya plastiki.

NA MARIAM MATUNDU Afisa mazingira kutoka ofisi ya makamu wa rais Muungano na Mazingira Anamaria Gerome amesema kutokana na hilo baadhi ya wafanyabiashara wasio waaminifu wametumia nafasi hiyo kutengeneza vifungashio vya plastiki  ambavyo vinatumika kama vibebeo. Amesema mchakato wa kutafuta…