Dodoma FM

UVIKO 19

4 October 2021, 1:44 pm

Mkoa wa Dodoma unaongoza kwa kutoa chanjo ya uviko 19

Na; Selemani Kodima . Imeelezwa kuwa mkoa wa Dodoma unaongoza kwa utoaji chanjo ya Ugonjwa wa Uviko -19 ambapo kati ya chanjo Elfu Hamsini ambazo zilitolewa kwa ajili ya Ugonjwa Uviko-19 ,tayari chanjo elfu thelathini zimetumika . Hayo yameelezwa na…

31 August 2021, 11:35 am

Ugonjwa wa uviko 19 watajwa kuathiri nguvu za kiume

Na; Selemani Kodima. Imeelezwa kuwa athari mojawapo anayoipata Mtu aliyepata Virusi vya Ugonjwa wa Uviko-19 ni pamoja na upungufu wa nguvu za kiume. Hili linajiri baada ya Hivi karibuni ripoti ya utafiti kutoka Chuo Kikuu cha Miami nchini Marekani kueleza…