UVIKO 19
18 October 2021, 12:11 pm
Kuchangia dawa ya meno kwa watu wengi ni njia mojawapo inayoweza kuchangia maamb…
Na; Selemani Kodima. Inaelezwa kuwa utumiaji na kuchangia dawa ya meno kwa watu wengi ni njia mojawapo inayoweza kuchangia maambukizi ya ugonjwa uviko-19 . Hayo yamesemwa na Dkt Baraka Nzobo mtaalamu wa ufuatiliaji na udhibiti wa magonjwa kutoka wizara ya…
5 October 2021, 11:19 am
Wananchi watakiwa kupata elimu sahihi juu ya chanjo ya uviko 19
Na; Shani Nicolous. Kufuatia zoezi la kuendelea kujikinga na Uviko 19 Dodoma imeonekana kuwa na mwitikio mkubwa katika suala la uchanjaji. Akizungumza na Taswira ya habari Mkuu wa Wilaya ya Dodoma mjini Jabir Shekimweli amesema kuwa kuna mwitikio mkubwa wa…
4 October 2021, 1:44 pm
Mkoa wa Dodoma unaongoza kwa kutoa chanjo ya uviko 19
Na; Selemani Kodima . Imeelezwa kuwa mkoa wa Dodoma unaongoza kwa utoaji chanjo ya Ugonjwa wa Uviko -19 ambapo kati ya chanjo Elfu Hamsini ambazo zilitolewa kwa ajili ya Ugonjwa Uviko-19 ,tayari chanjo elfu thelathini zimetumika . Hayo yameelezwa na…
6 September 2021, 11:48 am
Serikali imesema itaendelea kuhamasisha wananchi kuchukua tahadhari na kuchanja…
Na; Selemani Kodima. Serikali imesema itaendelea kuhamasisha wananchi kuchukua tahadhari na kuchanja chanjo ya Uviko 19 huku pia wakiendelea kuhamasisha kutumia njia nyingine za kujikinga na Ugongwa huo. Akizungumzia Umuhimu wa wananchi kuchanja chanjo ya Uviko -19 Dkt Baraka Nzobo…
31 August 2021, 11:35 am
Ugonjwa wa uviko 19 watajwa kuathiri nguvu za kiume
Na; Selemani Kodima. Imeelezwa kuwa athari mojawapo anayoipata Mtu aliyepata Virusi vya Ugonjwa wa Uviko-19 ni pamoja na upungufu wa nguvu za kiume. Hili linajiri baada ya Hivi karibuni ripoti ya utafiti kutoka Chuo Kikuu cha Miami nchini Marekani kueleza…