Dodoma FM

usalama barabarani

1 April 2021, 10:31 am

Madereva wanao fanya makosa kupewa adhabu

Na; Mariam Matundu. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi George Simbachawene amesema wameweka utaratibu wa kutangaza majina ya madereva watakaokuwa wanafanya makosa ya kujirudia kila mwezi ikiwa ni sambamba na adhabu mbalimbali. Mh.Simbachawene ameyasema hayo hii leo na kutangaza…