usalama barabarani
14 December 2021, 11:51 am
Kikosi cha usalama barabarani chaendeleza elimu juu ya matumizi sahihi ya baraba…
Na; Yussuph Hans. Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoani Dodoma kimesema kinaendelea kujikita zaidi katika kutoa elimu kwa watumiaji wa Barabara ili kujikinga na ajali za barabarani . Akizungumza na kituo hiki Mkuu wa kikosi cha Usalama Barabarani SACP Boniface Mbao…
21 October 2021, 12:30 pm
Waendesha vyombo vya moto jijini Dodoma watakiwa kufuata taratibu na kanuni za u…
Na; Shani Nicolous. Waendesha vyombo vya moto jijini Dodoma wametakiwa kufuata taratibu na kanuni za usalama barabarani ili kuepusha usumbufu wa adhabu zitakazolewa kisheria. Akizungumza na Dodoma fm kupitia kipindi cha Dodoma live rais wa jumuiya ya wananfunzi wanaosoma sheria…
1 April 2021, 10:31 am
Madereva wanao fanya makosa kupewa adhabu
Na; Mariam Matundu. Waziri wa mambo ya ndani ya nchi George Simbachawene amesema wameweka utaratibu wa kutangaza majina ya madereva watakaokuwa wanafanya makosa ya kujirudia kila mwezi ikiwa ni sambamba na adhabu mbalimbali. Mh.Simbachawene ameyasema hayo hii leo na kutangaza…