Dodoma FM
usafiri
9 April 2021, 9:21 am
Wananchi waombwa kutoa ushirikiano ili kukomesha mwendokasi
Na; James Justine. Mamlaka ya udhibiti usafiri ardhini LATRA imetoa ombi kwa wananchi kuendelea kutumia namba za simu zilizopo kwenye mabasi endapo dereva ataendesha gari kwa mwendo kasi wakiwa safarini. Taarifa hiyo imetolewa na afisa mfawidhi mamlaka ya udhibiti usafiri…