Dodoma FM

usafiri

9 April 2021, 9:21 am

Wananchi waombwa kutoa ushirikiano ili kukomesha mwendokasi

Na; James Justine. Mamlaka ya udhibiti usafiri  ardhini LATRA imetoa ombi kwa wananchi kuendelea kutumia namba za simu zilizopo kwenye mabasi endapo dereva  ataendesha  gari kwa mwendo kasi wakiwa safarini. Taarifa hiyo imetolewa na afisa mfawidhi mamlaka ya udhibiti usafiri…