Usafi
19 March 2024, 6:20 pm
Endeleeni kuitekeleza kampeni ya mita tano usafi wangu usafi wangu mita tano
Kimaro amewataka wananchi kutii sheria bila shuruti kwani sheria ndogo ya jiji la Dodoma inasema mtu asipo jitokeza kwenye usafi wa eneo lake la makazi , taasisi na biashara, faini yake ni kati ya shilingi 50,000-200,000 au kifungo kisichozidi miezi…
10 May 2021, 1:19 pm
Wakazi wa mtaa wa Makulu waomba kuongezewa vifaa kwaajili ya kusafisha mazingira
NA;Alfredy Sanga. Viongozi wa Mtaa wa Makulu jijini Dodoma wameelezea changaoto wanazokutana nazo kila ifikapo mwisho wa mwezi wanapowaongoza wananchi kufanya usafi. Akizungumza na Dodoma Fm balozi wa Mtaa wa Makulu Bw.Peter Salali amesema tangu kuanzishwa kwa utaratibu wa ufanyaji…
6 May 2021, 1:38 pm
Kizota wauomba uongozi wa mtaa ruhusa ya kufanya usafi katika mazingira yanayo z…
Na; FREDY CHETI. Wananchi wa Mtaa wa Salama Kata ya Kizota wameuomba uongozi wao kuwaruhusu kufanya usafi katika mazingira yanayozunguka makazi yao badala ya maeneo ya wazi kila ifikapo mwisho wa mwezi kama utaratibu ulivyowekwa na Serikali . Wakizungumza na…
23 February 2021, 3:11 pm
Wafanyabiashara Gulio la Chilonwa walilia vyoo bora
Na, Selemani Kodima, Dodoma. Usemi wa Nyumba ni choo! ambao umekuwa ukitumika katika kampeni ya kitaifa ya kuhamasisha vyoo bora umekuwa tofauti katika gulio la Chilonwa Wilaya ya Chamwino Dodoma, ambapo wananchi wengi wa eneo hilo hawalipi uzito unaopaswa. Baadhi…