Dodoma FM

umwagiliaji

7 October 2021, 11:59 am

Tume ya Taifa ya umwagiliaji yatarajia kutoa elimu kwa wakulima

Na;Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inatarajia kuanza kampeni mwezi huu ya kutoa elimu kwa wakulima kuchangia ada kwa ajili ya kuendeleza kilimo cha umwagiliaji pamoja na kutatua changamoto ya skimu mbalimbali Nchini. Hayo yanajiri wakati Tanzania inakadiriwa kuwa…