Dodoma FM
umwagiliaji
28 October 2021, 11:17 am
Viongozi wa skimu za umwagiliaji wametakiwa kusimamia zoezi la kutunisha mfuko w…
Na;Mindi Joseph. Mhandisi wa Umwagiliaji amewataka viongozi katika Skimu za Umwagiliaji kusimamia kikamilifu zoezi la ukusanyaji ada na tozo kwa lengo la kutunisha mfuko wa Umwagiliaji. Akizungumza na Taswira ya habari kutoka Mkoani Iringa Mhandisi wa Umwagiliaji Onesmo Kahoggo amesema…
7 October 2021, 11:59 am
Tume ya Taifa ya umwagiliaji yatarajia kutoa elimu kwa wakulima
Na;Mindi Joseph. Tume ya Taifa ya Umwagiliaji inatarajia kuanza kampeni mwezi huu ya kutoa elimu kwa wakulima kuchangia ada kwa ajili ya kuendeleza kilimo cha umwagiliaji pamoja na kutatua changamoto ya skimu mbalimbali Nchini. Hayo yanajiri wakati Tanzania inakadiriwa kuwa…