Dodoma FM
umiliki ardhi
14 July 2021, 1:28 pm
Mwanamke ana haki ya kumiliki mali na kuuza chochote kwaajili ya familia
Na; Shani Nicolous. Imeelezwa kuwa mwanamke anahaki ya msingi ya kumiliki ardhi kama ilivyo kwa upande wa mwanaume katika familia kwa mjibu wa sheria. Akizungumza na Dodoma fm msaidizi wa kisheria kutoka halmashauri ya Wilaya ya Bahi Bw. Yona Sakaza…