Dodoma FM

Ulinzi na usalama

26 March 2021, 11:23 am

Vyombo vya ulinzi na usalama vitamtii Rais Samia

Na; Mariam Kasawa Mkuu wa Majeshi  nchini Tanzania (CDF) Venance Mabeyo amemuhakikishia Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania mama Samia Suluhu Hassan kuwa vyombo vya ulinzi na usalama vitamtii na kutekeleza majukumu yake kama ilivyoainishwa kwenye Katiba ya Jamhuri…