Dodoma FM
ulemavu
16 November 2022, 12:36 pm
Wanafunzi watakiwa kuepuka hofu
Na; Lucy Lister. Hofu inayowakumba baadhi wanafunzi kipindi cha mitihani imetajwa kuwa ni moja ya sababu inayofanya wanafunzi wengi kufeli na wengine kukatisha masomo yao. Wakizungumza na taswira ya habari baadhi ya walimu mkoani Dodoma wamesema kuwa hofu inaweza kumsababishia…
1 November 2021, 12:15 pm
Watu wenye ulemavu wameshauriwa kuacha kujitenga na jamii ili kuepuka ukatili
Na; Mariam Matundu. Watu wenye ulemavu wameshauriwa kuacha kujitenga na jamii ikiwa ni mbinu moja wapo ya kuepuka ukatili dhidi yao ikiwa ni pamoja na kutengwa na kuitwa majina dhalilishi. Hayo yamesemwa na mdau wa masuala ya watu wenye ulemavu…