Dodoma FM
ukosefu wa maji
20 May 2021, 1:44 pm
Wakazi wa kata ya Keikei walalamikia kukosa huduma ya maji.
Na ;Benard Filbert. Uchakavu wa miundombinu ya maji katika Kata ya Keikei Wilayani Kondoa imetajwa kuwa sababu inayochangia kukosekana kwa huduma ya maji. Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa Kata hiyo wakati wakizungumza na taswira ya habari kuhusu sababu…