Dodoma FM
ukoma
27 January 2022, 3:24 pm
Jamii yatakiwa kutambua ugonjwa wa ukoma unaambukizwa kwa njia ya hewa
Na; Pius Jayunga. Jamii imetakiwa kutambua kuwa ugonjwa wa ukoma unaambukizwa kwa njia ya hewa na hivyo kuna haja ya kuchukua tahadhari ikiwemo kuongeza mzunguko wa hewa katika makazi. Mratibu wa ukoma kutoka wizara ya afya Dr. Dues Kamara ameyasema…