Dodoma FM

ujenzi wa barabara

29 August 2023, 3:43 pm

Serikali, wadau kushirikiana kukwamua wanawake kiuchumi

Mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 63.489 imetolewa na kuwanufaisha wanawake zaidi ya 938,800. Na WMJJWM. Serikali itaendelea kushirikiana na wadau ili kuhakikisha wanawake wanapata fursa mbalimbali za kujikwamua kiuchumi na kuendeleza biashara zao. Hayo yamesemwa na Waziri…

24 September 2021, 9:50 am

Juhudi zahitajika ujenzi wa barabara katika kata Ibihwa

Na; Benard Filbert. Licha ya wakala wa barabara za Mijini na Vijini TARURA Wilaya ya Bahi kuanza ujenzi wa barabara katika kata ya Ibihwa Wilaya ya Bahi imeelezwa bado juhudi zinatakiwa ili kuondoa changamoto ambazo zimekuwa kero kwa wananchi hususuani…