ujenzi wa barabara
29 August 2023, 3:43 pm
Serikali, wadau kushirikiana kukwamua wanawake kiuchumi
Mikopo yenye thamani ya zaidi ya shilingi bilioni 63.489 imetolewa na kuwanufaisha wanawake zaidi ya 938,800. Na WMJJWM. Serikali itaendelea kushirikiana na wadau ili kuhakikisha wanawake wanapata fursa mbalimbali za kujikwamua kiuchumi na kuendeleza biashara zao. Hayo yamesemwa na Waziri…
19 July 2022, 1:59 pm
Wanawake watakiwa kutambua nafasi yao katika kuchangia maendeleo ya familia
Na; Victor Chigwada. Afisa maendeleo ya jamii katika Kata ya Msamaro Bi.Ngw’ashi Mhuli ametoa wito kwa wanawake kutambua kuwa wananafasi ya kuchangia maendeleo katika ngazi ya familia mpaka ngazi ya taifa Bi. Mhuli akizungumza na taswira ya habari amesema kuwa…
24 September 2021, 9:50 am
Juhudi zahitajika ujenzi wa barabara katika kata Ibihwa
Na; Benard Filbert. Licha ya wakala wa barabara za Mijini na Vijini TARURA Wilaya ya Bahi kuanza ujenzi wa barabara katika kata ya Ibihwa Wilaya ya Bahi imeelezwa bado juhudi zinatakiwa ili kuondoa changamoto ambazo zimekuwa kero kwa wananchi hususuani…