Dodoma FM

uhifadhi mazao

21 April 2021, 7:52 am

Wakulima washauriwa kutumia njia bora za kuhifadhi mazao

Na ;Thadei Tesha. Wakulima wameshauriwa kutumia njia bora za uhifadhi wa mazao ili kuhakikisha mazao yao yanadumu kwa muda mrefu bila ya kuharibika. Akizungumza na taswira ya habari afisa kilimo wa jiji la Dodoma Bi.Gloria Woisso amebainisha njia bora za…