Dodoma FM
uhaba wa vyoo
6 May 2022, 2:42 pm
Msalaba mwekundu kuadhimisha miaka 60 ya chama chao
Na; Benard Filbert. Kuelekea maadhimisho ya miaka 60 ya chama cha msalaba mwekundu nchini chama hicho kimepanga kutoa elimu juu ya uviko 19 pamoja na kufanya usafi wa mazingira ikiwa sehemu ya maadhimisho hayo. Hayo yameelezwa na mratibu wa chama…
4 August 2021, 9:51 am
Shule ya msingi sokoni wilayani Bahi yakabiliwa na upungufu wa matundu ya vyoo
Na; Mariam Matundu. Kukosekana kwa vyoo bora na rafiki kwa Wanafunzi wenye ulemavu katika shule ya msingi Sokoni wilayani Bahi umesababisha wanafunzi kushindwa kujisitiri pale wanapohitaji kutumia vyoo hivyo. Wanafunzi hao Wamesema wamekuwa wakipata magonjwa ya kichocho hasa kwa wanafunzi…