Dodoma FM
ufugaji
22 April 2022, 1:53 pm
Serikali yashauriwa kusimamia malipo kwa wafugaji
Na;Yussuph Hassan. Serikali Nchini imeshauriwa kusimamia kwa kina suala la malisho kwa wafugaji kwani kundi hilo limekuwa likichangia kwa kiasi kubwa shughuli za kiuchumi. Akizungumza na waandishi wa habari na Mwenyekiti wa Chama Cha Wafugaji Nchini Jeremia Wambura amesema kuwa…
10 May 2021, 11:24 am
Wafugaji watakiwa kutumia njia bora za ulishaji wa mifugo
Na; Thadei Tesha. Wafugaji nchini wameshauriwa kutumia njia bora za kisasa na kiteknolojia za kulisha mifugo ili kuleta tija katika soko la mifugo nchini. Akizungumza katika mahojiano maalum na kipindi cha taswira ya habari mtaalamu na mtafiti kutoka kituo cha…