Dodoma FM

UCSAF

15 May 2024, 12:36 pm

UCSAF wapongezwa kwa kusimamia vema dhamana waliyopewa

Mnara huu ulio kaguliwa na Waziri Nape umegharimu kati ya milioni 300 mpaka milioni 350 na ni moja kati ya Minara 758, ambayo Ujenzi wake unatekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa Nchini. Na Mariam Kasawa. Mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF)…