Dodoma FM
UCSAF
15 May 2024, 12:36 pm
UCSAF wapongezwa kwa kusimamia vema dhamana waliyopewa
Mnara huu ulio kaguliwa na Waziri Nape umegharimu kati ya milioni 300 mpaka milioni 350 na ni moja kati ya Minara 758, ambayo Ujenzi wake unatekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa Nchini. Na Mariam Kasawa. Mfuko wa mawasiliano kwa wote (UCSAF)…
25 April 2024, 6:26 pm
UCSAF yatakiwa kuvifikia vijiji ambavyo havina mawasiliano
Ujenzi wa Jengo la Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote UCSAF ulianza April 2021 na ujenzi huu umegharimu bilion 3.8. Na Mindi Joseph.Makamu wa Rais wa Tanzania Dkt. Philip Mpango ameitaka UCSAF kusimamia kwa karibu ujenzi wa minara ya mawasiliano unaoendelea…