Dodoma FM
uchumi wa Nchi
4 June 2021, 1:06 pm
Asilimia moja ya pato la Taifa yapotea kila mwaka kufuatia athari za mabadiliko…
Na;Mindi Joseph . Asilimia 1 ya pato la Taifa inatajwa kupotea kila mwaka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi huku ikikadiriwa watu milioni 1.6 wanaoishi ukanda wa pwani watakabiliwa na changamoto ya athari za mabadiliko ya tabia nchi ifikapo mwaka…