Dodoma FM
Teknolojia
26 February 2021, 9:15 am
Tumieni teknolojia vizuri kukuza uchumi
Na, Benard Philbert, Dodoma. Jamii imeshauriwa kutumia teknolojia ipasavyo ili kutambua fursa mbalimbali zitakazo changia katika ukuaji wa uchumi. Hayo yameelezwa na mhandisi Eliponda Hamir kutoka taasisi ya Teknolojia Tanzania Community network, wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu matumizi…