Dodoma FM
TALGWU
25 August 2021, 12:42 pm
Serikali kuongeza jitihada ya kutatua changamoto za wafanyakazi Nchini
Na;Mindi Joseph. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungao wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa amesema serikali itaongeza jitihada za kutatua changamoto zinazowakabili wafanyakazi nchini. Akizungumza leo jijini Dodoma wakati wa kufungua mkutano wa chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa Tanzania…
24 August 2021, 1:41 pm
TALGWU yatakiwa kusimamia maadili ya watumishi wake
Na;Mindi Joseph . Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh Anthony Mtaka amekitaka chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa Tanzania TALGWU Kusimamia maadili ya watumishi wao ili kuondoa ukiukwaji wa maadili kwa watumishi Nchini. Akizungumza leo jijini Dodoma katika mkutano…