Dodoma FM

TALGWU

24 August 2021, 1:41 pm

TALGWU yatakiwa kusimamia maadili ya watumishi wake

Na;Mindi Joseph . Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mh Anthony Mtaka amekitaka chama cha wafanyakazi wa serikali za mitaa Tanzania TALGWU Kusimamia maadili ya watumishi wao ili kuondoa ukiukwaji wa maadili kwa watumishi Nchini. Akizungumza leo jijini Dodoma katika mkutano…