Dodoma FM
tahadhari
11 May 2021, 12:40 pm
Jamii yatakiwa kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya kuambukizwa na yasiyo yak…
Na; Mariam Matundu. Jamii imetakiwa kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya magonjwa ya kuambukizwa na yasiyo ya kuambukizwa ikiwemo Covid 19 ili kulinda afya zao . Hayo yamesemwa na afisa afya wa jiji la Dodoma Abdallah Mahiya na kuongeza kuwa kutokana…