Dodoma FM

Taasisi

19 March 2021, 6:32 am

Taasisi zisizo za kiserikali zamlilia Magufuli

Na, Alfred Bulahya. Taasisi isiyo ya Kiserikali ya MEFADA kwa kushirikiana na YCR (Youth and Community Rehabilitation) zinazojishughulisha na suala la kupambana na dawa za kulevya na ukimwi, imeitaka jamii kuendelea kuenzi mambo muhimu yaliyofanywa na aliyekuwa rais wa Jamhuri…