Dodoma FM
stadi za kazi
1 June 2021, 1:46 pm
Wazazi wametakiwa kuhakikisha watoto wao wanatimiza malengo
Na; Shani Nicolous. Kuelekea siku ya mtoto wa Afrika juni 16 shirika la Mercy Empowerment Foundation limeandaa kambi ya watoto ya siku tatu kwaajili ya kuwafundisha stadi za kazi. Mercy Empowerment Foundation ni shirika linalojihusisha na masuala ya watoto, Vijana,…