Dodoma FM
shujaa
22 March 2021, 12:50 pm
Tanzania itamkumbuka daima Dkt. Magufuli kuwa shujaa na mkombozi
Na; Mariam Kasawa Viongozi mbalimbali walio hudhuria katika tukio la kumuaga Hayati Dkt. John Pombe Magufuli wamemzungumzia kuwa alikuwa shujaa na mkombozi waTanzania, Afrika na Duniani. Wakizungumza katika uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma Marais Walio hudhuria shughuli hiyo wamesema watamkumbuka…