sheria
7 February 2022, 3:44 pm
Vyombo vya sheria vyaombwa kusimamia haki
Na; Benard Filbert. Vyombo vinavyosimamia sheria nchini vimeombwa kusimamia haki pale inapobainika mtu yeyote kufanya vitendo vya kikatili ili kukomesha hali hiyo. Hayo yamebeinishwa na afisa miradi Bi Stella Matei kutoka taasisi ya ACTION FOR COMMUNITY CARE ambayo inajihusisha na…
2 February 2022, 3:53 pm
Rais Samia asema bado kuna malalamiko mengi ya wananchi juu ya ucheleweshwaji wa…
Na; Pius Jayunga. Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania mh. Samia suluhu Hassan amesema bado kuna malalamiko mengi ya wananchi juu ya ucheleweshwaji wa haki katika muhimili wa mahakama. Rais samia ametoa kauli hiyo wakati wa sherehe za kilele…
23 October 2021, 2:48 pm
Wananchi watakiwa kushirikishwa kuweka mifumo bora ya kisera na kisheria
Na;Yussuph Hans. Asasi za kiraia Nchini zimetakiwa kuwa chachu ya kuleta maendeleo kwa kuisadia Serikali katika mipango mbalimbali ili kuwafikia wananchi wengi zaidi. Rai hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Haki Rasilimali Racheal Chagonja wakati akizungumza na Dodoma Fm katika…
16 September 2021, 2:01 pm
Vyombo vya ulinzi na usalama vyaagizwa kuchukua hatua za kisheria dhidi ya watu…
Na;Mindi Joseph . Waziri wa Mambo y a Ndani ya Nchi George Simbachawene ameviagiza Vyombo vyote vya ulinzi na usalama Nchini kuanza kuchukua hatua za kisheria kwa wale ambao wanatumia mitandao ya kijamii vibaya ikiwemo kudhalilisha viongozi.Akizungumza leo Mtumba Jijini…
28 June 2021, 11:26 am
Waganga na wakunga watiba asilia watakiwa kujua sheria ili kuepusha migogoro kwa…
Na; Benard Filbert. Imeelezwa kuwa uelewa mdogo wa sheria kwa waganga wa tiba za asili nchini ni sababu inayo pelekea kutokea kwa migogoro mingi katika jamii. Hayo yameelezwa na katibu wa umoja wa waganga na wakunga asilia nchini Bwana Lucas…
21 May 2021, 12:43 pm
Serikali yaahidi kusimamia sheria ya mtoto
Na; Yussuph Hans Katika kuhakikisha inawakomboa wanawake wanaobebeshwa mimba na kutelekezwa, Serikali imeahidi kusimamia ipasavyo sheria ya mtoto ya mwaka 2009 inayotoa maelekezo juu ya matunzo ya mtoto kwa wazazi wote wawili. Hayo yamebainishwa leo Bungeni Jijini Dodoma na Naibu…