Dodoma FM

Secta ya Afya

13 April 2021, 12:35 pm

Nagulo Bahi wakabiliwa na changamoto ya kukosa Zahanati

Na; Selemani Kodima Licha ya mwongozo wa sera ya afya ya 2007 kuainisha kuwa kila Kijiji kitakuwa na Zahanati, hali ni tofauti katika Kijiji cha Nagulo Kata ya Bahi ambapo tangu kuanzishwa kwa Kijiji hicho hawajawahi kuwa na Zahanati. Taswira…