Dodoma FM
Secta ya Afya
13 April 2021, 12:35 pm
Nagulo Bahi wakabiliwa na changamoto ya kukosa Zahanati
Na; Selemani Kodima Licha ya mwongozo wa sera ya afya ya 2007 kuainisha kuwa kila Kijiji kitakuwa na Zahanati, hali ni tofauti katika Kijiji cha Nagulo Kata ya Bahi ambapo tangu kuanzishwa kwa Kijiji hicho hawajawahi kuwa na Zahanati. Taswira…
2 April 2021, 10:38 am
Waziri Dkt. Gwajima amshukuru Rais Samia kuimulika sekta ya maendeleo ya jamii
Na; Mariam Matundu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan kwa kuongeza nguvu katika Wizara hiyo kwa kuzingatia umuhimu wa Sekta ya…