Dodoma FM

sayansi

11 May 2021, 2:05 pm

Watoto wa kike wahamasishwa kupenda masomo ya sayansi

Na; Mariam Matundu.  Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF), Justina Mashiba amesema kupitia miradi ya mfuko huo wamekuwa wakitoa mafunzo yenye lengo la kumuhamasisha mtoto wa kike kupenda masomo ya sayansi, kuwa mbunifu na kupenda kujifunza masuala…