sayansi
23 July 2021, 12:58 pm
Wanasayansi watakiwa kuunganisha nguvu na serikali ili kuwakomboa wakulima
Na;Mindi Joseph. Waziri Mkuu mstaafu wa Tanzania Mh. Mizengo Pinda amesema wanasanyansi wanatakiwa kuunganisha nguvu na serikali ili kusaidia kuwakomboa wakulima nchini. Akizungumza katika ufunguzi wa wiki ya pass Trust Jijini Dodoma Mh Mizengo pinda amesema kilimo ni sanyasi hivyo…
1 July 2021, 10:54 am
Wasichana wametakiwa kusoma kwa bidii masomo ya sayansi ili kupata fursa katika…
Na;Yussuph Hans. Licha ya jitihada mbalimbali zinazofanyika kuleta usawa Nchini bado kuna Changamoto kwa wanawake katika kusomea Masomo ya Sayansi pamoja na kupewa fursa katika Miradi ya maendeleo ukilinganisha na Wanaume. Akizungumza na Taswira ya habari Afisa Programu kutoka Mtandao…
11 May 2021, 2:05 pm
Watoto wa kike wahamasishwa kupenda masomo ya sayansi
Na; Mariam Matundu. Afisa Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote(UCSAF), Justina Mashiba amesema kupitia miradi ya mfuko huo wamekuwa wakitoa mafunzo yenye lengo la kumuhamasisha mtoto wa kike kupenda masomo ya sayansi, kuwa mbunifu na kupenda kujifunza masuala…