Dodoma FM
Salama
22 March 2021, 5:24 am
Kikwete asema Tanzania ipo salama mikononi mwa Rais Samia
Na; Mariam Kasawa Rais mstaafu wa awamu ya nne Mh.Jakaya Kikwete amesema Taifa la Tanzania lipo salama chini ya uongozi wa Rais mpya Samia Suluhu, kwani rais huyo anafahamu kile kilicho fanyika Tanzania, kinachostahili kufanyika pamoja na mipango ya Serikali…