Dodoma FM
Ramadhani
14 April 2021, 11:32 am
Waislamu watakiwa kutumia kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani kujinyenyekeza kw…
Na;Yussuph Hans Wakati hii leo waumini wa dini ya Kiislamu wakianza mwezi mtukufu wa Ramadhan, wito umetolewa kwa waumini hao kujizuia kufanya mambo yote yaliyokatazwa na Mwenyezi Mungu ili kutimia kwa lengo la funga zao. Akizungumza na taswira ya Habari…