radio
6 September 2023, 12:09 pm
Wajawazito watakiwa kuzingatia chanjo ya pepopunda
Kwa mujibu wa wataalamu wa Afya wanasema kuwa iwapo mama mjamzito atazikosa chanjo hizo itachangia kupata madhara makubwa na kumuathiri mtoto aliyepo tumboni huku wakishauri kufika mapema katika vituo vya Afya pale tu Mtu atakapohisi dalili za ujauzito. Na Richald…
30 March 2023, 7:23 pm
Halmashauri zatakiwa kuhakikisha watoto wanapatiwa chanjo
Amewataka wataalamu wa afya kila wanapo kwenda kufanya huduma za mkoba lazima na huduma ya utoaji chanjo iwepo . Na Alfred Bulahya Serikali kupitia Wizara ya Afya imewataka Waganga wakuu wa Mikoa na Halmashauri nchini kuhakikisha watoto wote chini ya…
12 January 2023, 1:59 pm
Elimu ya chanjo ya uviko 19 ni muhimu kwa wazazi
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa ni muhimu kwa wazazi na walezi kupata chanjo ya uviko 19 kwani mbali na kujilinda wao wenyewe lakini pia husaidia kuwalinda watoto. Bi Lotalisi Gadau ni mratibu wa mpango wa taifa wa chanjo kutoka wizara…
26 July 2021, 11:31 am
Serikali yaja na mpango wa kupunguza tozo za leseni kwa radio za jamii katika n…
Na; Mariam Matundu. Katika kuboresha huduma za mawasiliano kwa umma hususani kwa njia ya Redio wizara ya teknolojia ya habari na mawasiliano imesema inampango wa kupunguza tozo za leseni kwa radio za kijamii katika ngazi ya wilaya na maeneo ya…