Dodoma FM
plastiki
9 February 2024, 5:18 pm
Yafahamu madhara ya utupaji taka za plastiki katika vyanzo vya maji
Hata hivyo Umoja wa mataifa mara kadhaa umekuwa ukionya kuwa iwapo mataifa hayatochukua hatua za mapema kudhibiti taka zitokanazo na plastiki, huenda ulimwengu ukashuhudia idadi kubwa ya plastiki katika maziwa na bahari ukilinganisha na Samaki ifikapo mwaka 2050. Na Mariam…