Dodoma FM
nyumba bora
7 May 2021, 1:12 pm
Wakazi wa jiji la Dodoma wametakiwa kuzingatia ramani ya nyumba wanazo jenga zi…
NA; Shani Nicolous Halmashauri ya jiji la Dodoma kwa sasa imejikita kuhakikisha kila nyumba inayojengwa inazingatia ramani ya choo bora kama inavyoshauriwa na wataalamu wa afya. Hayo yamesemwa na Afisa afya wa jiji la Dodoma Bw.Abdalah Mahiya alipo kuwa akizungumza…