Dodoma FM
mwalimu day
5 October 2021, 10:53 am
Walimu waadhimisha siku ya mwalimu kwa kuomba kuboreshewa mazingira ya kujikinga…
Na; Selemani Kodima. Ikiwa leo ni siku ya walimu Dunia ,Baadhi ya walimu wamesema ipo haja ya kundi hilo kutazamwa zaidi katika namna ya kujikinga na Ugonjwa uviko-19 kutokana na mazingira ya ufundishaji kuhusisha watu wengi . Hayo yamesemwa na…