Dodoma FM
Dodoma FM
24 January 2022, 3:45 pm
Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi wa mtaa wa chang’ombe kata ya Ihumwa jijini Dodoma wameelezea changamoto wanazokutana nazo katika msitu unaowatenganisha kati ya mtaa wa chang’ombe na mtaa wa mahoma makulu. Wakiongea na taswira ya habari wananchi hao wamesema…