mitandao ya kijamii
14 March 2023, 12:04 pm
Wananchi Wahimizwa kufanya utalii wa ndani Jijini Dodoma
Wananchi Mkoani Dodoma wamehimizwa kuwa na utaratibu wa kufanya utalii wa ndani ukiwemo utalii wa matukio, kwenda maeneo maarufu mkoani hapo, ikiwemo pia na maeneo ya mashamba makubwa yanayolima zao la zabibu. Na Fred Cheti. Katika Kuufanya Mkoa wa Dodoma…
23 November 2022, 1:45 pm
Wananchi watakiwa kujitokeza kupata elimu ya utalii.
Na; Benard Filbert. Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wameombwa kujitokeza kwenye tamasha la utalii katika eneo la Nyerere square tarehe 26 mwezi huu kwa lengo la kupata elimu ya utalii. Hayo yameelezwa na Dorothea Masawe kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa…
25 October 2021, 11:28 am
Jamii yatakiwa kutumia mitandao ya kijamii kutafuta fursa mbalimbali
Na; Shani Nicolous. Wito umetolewa kwa jamii kutumia mitandao ya kijamii kutafuta fursa mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi. Wito huo umetolewa na katibu wa baraza la ushauri la watumiaji wa huduma za mawasiliano Tanzania Rachel Charles Elio wakati akizungumza na Taswira…