Dodoma FM

mitandao ya kijamii

14 March 2023, 12:04 pm

Wananchi Wahimizwa kufanya utalii wa ndani Jijini Dodoma

Wananchi Mkoani Dodoma wamehimizwa kuwa na utaratibu wa kufanya utalii wa ndani ukiwemo utalii wa matukio, kwenda maeneo maarufu mkoani hapo, ikiwemo pia na maeneo ya mashamba makubwa yanayolima zao la zabibu. Na Fred Cheti. Katika Kuufanya Mkoa wa Dodoma…

23 November 2022, 1:45 pm

Wananchi watakiwa kujitokeza kupata elimu ya utalii.

Na; Benard Filbert. Wakazi wa Mkoa wa Dodoma wameombwa kujitokeza  kwenye tamasha la utalii katika eneo la Nyerere square  tarehe 26 mwezi huu kwa  lengo la kupata elimu ya utalii. Hayo yameelezwa na Dorothea Masawe  kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa…