Dodoma FM
miradi ya maendeleo
12 May 2021, 12:47 pm
Wananchi watakiwa kufuatili na kuhoji miradi ambayo imekamilika na haitumiki
Na; Mindi Joseph Serikali imehimizwa kuwashirikisha wananchi katika ujenzi wa miradi ya maendeleo ili kuokoa hasara inayojitokeza kufuatia asilimia 36 ya miradi iliyokamilika Nchini kutotumika licha ya kugharimu rasilimali nyingi za fedha. Taswira ya habari imezungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa…