mikopo
21 April 2022, 10:22 am
Wanawake Ilazo waiomba serikali kuwapatia elimu ya mikopo
Na; Shani Nicolous. Wanawake wa mtaa wa Ilazo jijini hapa wameiomba serikali na taasisi za mikopo kutoa elimu juu ya matumizi sahii ya mikopo hiyo. Wakizungumza na Taswira ya habari wanawake hao wamesema kuwa mikopo huenda inatolewa lakini mwitikio ni…
5 April 2022, 2:22 pm
Ukosefu wa elimu juu ya mikopo waleta changamoto ya urejeshaji wa mikopo
Na; victor Chigwada. Pamoja na kasi ya uundwaji wa vikundi vya vijana na wajasiriamali mabalimbali nchini ambavyo hupatiwa mikopo ya kuendesha shughuli zao lakini kumekuwa na changamoto ya upataji wa elimu juu ya mikopo hiyo pamoja na matumizi yenye tija.…
26 August 2021, 1:00 pm
Baadhi ya vijana walalamikiwa kushindwa kurudisha mikopo inayotolewa na halmasha…
Na; Benard Filbert. Licha ya Serikali kupitia Halmashauri mbalimbali Nchini kutoa mikopo kwa makundi mbalimbali imeelezwa kuwa moja ya changamoto kubwa ni baadhi ya vijana kushindwa kurudisha mikopo hiyo. Hayo yameelezwa na afisa maendeleo Jiji la Dodoma Bw. Daniel Manyama…
2 July 2021, 11:19 am
Uhamasishaji mdogo wapelekea watu wenye ulemavu kuto nufaika na mikopo ya ha…
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa taarifa na uhamasishaji kwa watu wenye ulemavu kujiunga katika vikundi ni moja ya sababu inayo pelekea kundi hilo kutopata mikopo kwa wingi inayotolewa na halmashauri. Hayo yamesemwa namwenyekiti wa chama cha watu wenye ulemavu wilaya ya Kondoa bwana Abedi Dutu ambapo amesema uhamasishaji kwa watu wenye ulemavu wanaoishi maeneo ya vijijini kuomba mikopo upo chini hivyo wengi wao hukosa fursa…