Dodoma FM
migogoro Ardhi
20 April 2021, 11:27 am
Migogoro ya ardhi yapelekea Ndachi kukosa huduma nyingi za Msingi
Na; Mariam Matundu Wakazi wa mtaa wa Ndachi jijini hapa wamekuwa na kilio cha muda mrefu juu ya migogoro ya ardhi pamoja na kukosekana kwa miradi ya maendeleo katika mtaa huo. Taswira ya habari imezungumza na baadhi ya wananchi wa…