michazo
9 March 2023, 12:00 pm
TPF Net kuendeleza kudhibiti na kutokomeza vitendo vya ukatili
TPF Net limesema limejipanga kushirikiana na wadau mbalimbali katika kudhibiti na kutokomeza vitendo vya ukatili wa kijinsia. Na Fredi Cheti. Jeshi la Polisi nchini kupitia Mtandao wa polisi wanawake nchini TPF Net limesema limejipanga kushirikiana na wadau mbalimbali katika kudhibiti…
8 March 2023, 4:04 pm
Wanawake watakiwa kusimama imara kupinga ukatili
Wanawake wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kukemea na kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyo endelea katika jamii. Na Mariam Kasawa. Wanawake wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kukemea na kupinga vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyo endelea katika…
19 December 2022, 8:47 am
Wadau watakiwa kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili
Na; Alfred Bulahya. Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Dkt. John Jingu ameitaka jamii, wadau kwa nafasi zao kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili ambavyo vimekuwa vikitokea katika maeneo mbalimbali nchini. Dkt. Jingu ameyasema hayo…
1 December 2022, 7:49 am
Mila na desturi kandamizi bado ni hatari kwa jamii
Na; Lucy Lister. Wakati Tanzania ikiungana na mataifa mengine Duniani kuadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia wananchi jijini Dodoma wameeleza kuwa,bado kuna mila na desturi zinazokandamiza ustawi wa mtoto wa kike na mwanamke ikiwemo ukeketaji,kurithi wajane na kutopewa…
29 July 2022, 1:34 pm
Wazazi watakiwa kutoa taarifa za vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto wao
Na; Benard Filbert. Wazazi wametakiwa kushirikiana na kutoa taarifa pindi wanapoona vitendo vya ukatili wa kijinsia kwa watoto wao ili kuepusha athari wanazoweza kukutana nazo watoto hao. Hayo yanajiri kutokana na kukithiri kwa vitendo vya ukatili wa kijinsia katika jamii…
11 May 2022, 2:02 pm
Wasichana wahofia kuripoti vitendo vya ukatili
Na;Mindi Joseph. Imeelezwa kuwa asilimia kubwa ya wasichana hawaripoti vitendo vya ukatili wa kijinsia wanavyofanyiwa kwa kuhofia kudhalilika. Taswira ya habari imezungumza na Mkaguzi wa polisi Christer yasinta Mkuu wa dawati la jinsia na watoto Polisi Mkoa wa Dodoma ambapo…
21 April 2021, 12:50 pm
Dodoma jiji kucheza na Azam FC kesho uwanja wa Jamhuri Dodoma
Na; Matereka Junior Makocha wa timu zote mbili Dodoma jiji na Azam fc wamezungumzia maandalizi yao ya mwisho kuelekea mchezo wao wa kesho Alhamis katika uwanja wa Jamhuri.