Dodoma FM
Miaka mi 3
20 March 2024, 7:04 pm
Wananchi waelezea mafanikio ya miaka mitatu ya Rais samia
Ni takribani miaka mitatu imepita tangu kuapishwa kwa rais wa wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh samia Suluh Hasan Tareh 19 machi mwaka 2021. Na Thadei Tesha. Wananchi jijini Dodoma wamelezea mafanikio ya miaka mitatu ya uongozi wa serikali…