Dodoma FM

Mbegu

23 February 2024, 5:10 pm

Wananchi wakosa elimu ya kutosha utunzaji wa mbegu

Wakulima wanashauriwa kutumia mbegu bora kwa kununua mbegu katika duka lililosajiliwa na TOSCI ili kusaidia kubaini nani anayesambaza mbegu zisizo na ubora na kurahisisha namna ya kutatua changamoto itakayokuwa imejitokeza. Na Mindi Joseph. Uhifadhi sahihi wa mbegu umetajwa kuwa changamoto…