Dodoma FM
mazoezi
15 February 2022, 4:42 pm
Wananchi waomba kupatiwa elimu juu ya mazoezi ya viungo
Na ;Thadei Tesha. Mwitikio wa watu kufanya mazoezi bado umeendelea kuwa wa wastani kutokana na watu kutopata elimu ya kutosha juu ya umuhimu wa kufanya mazoezi. Taswira ya habari imefanya mahojiano na wananchi jijini hapa kufahamu ni kwa kiasi gani …