Dodoma FM

matumizi ya pombe

11 October 2021, 12:45 pm

Wananchi washauriwa kuepuka matumizi ya pombe yaliyo pitiliza

Na; Benard Filbert. Jamii imeshauriwa kuacha kunywa pombe kupita kiasi ili kuepusha athari ambazo zinaweza kujitokeza ikiwemo matatizo ya akili. Hayo yameelezwa na Bi. Gladnes Munuo katibu mkuu kutoka taasisi ya TAANET ambayo inahusika na kupinga unywaji wa pombe kupita…