Dodoma FM
mapambano
25 June 2021, 1:35 pm
Asasi za kiraia zapongezwa mapambano dhidi ya dawa za kulevya
Na; Benard Filbert. Kamishna msaidizi wa kinga na huduma za jamii kutoka mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya Bi.Moza Makumburi amezipongeza asasi mbalimbali za kiraia zinazoshirikiana na Serikali kuzuia matumizi na biashara hiyo nchini. Akizungumza na Dodoma…