Dodoma FM
mapambano dawa za kulevya
2 June 2021, 11:12 am
Serikali kuandaa mikakati mbalimbali ili kupambana na biashara ya dawa za kulevy…
Na;Yussuph Hans. Serikali imesema haitofumbia macho suala la baadhi ya viongozi wanaofichua siri na mipango ya Serikali katika udhibiti wa Dawa za kulevya Nchini. Hayo yamebainishwa Bungeni na Waziri wa Nchi, Sera, Bunge, Ajira, Vijana na wenye ulemavu Mh.Jenista Mhagama…