Dodoma FM
Maombolezo
18 March 2021, 9:50 am
Watanzania waaswa kuendelea kuliombea Taifa
Na, Mariam Kasawa. Watanzania wametakiwa kuendelea kumuomba Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu ili kuliwezesha Taifa kusonga mbele. Hayo yamesemwa na mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo leo wakati akitoa salamu za pole…
18 March 2021, 7:51 am
Watanzania wamlilia Rais Dkt.Magufuli
Na, Mariam Kasawa. Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Rais Dr John Pombe Magufuli kilichotokea Machi 17 2021. Akithibitisha kifo hicho makamu wa rais Samia Suluhu amesema kwamba rais Magufuli alianza kuugua mnamo tarehe 6 mwezi Machi…