Dodoma FM

Maombolezo

18 March 2021, 9:50 am

Watanzania waaswa kuendelea kuliombea Taifa

Na, Mariam Kasawa. Watanzania  wametakiwa kuendelea kumuomba Mungu awape faraja katika kipindi hiki kigumu  ili kuliwezesha Taifa kusonga mbele. Hayo yamesemwa na mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dkt. Fredrick Shoo leo wakati akitoa salamu za pole…

18 March 2021, 7:51 am

Watanzania wamlilia Rais Dkt.Magufuli

Na, Mariam Kasawa. Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan ametangaza kifo cha Rais Dr John Pombe Magufuli kilichotokea Machi 17 2021. Akithibitisha kifo hicho makamu wa rais Samia Suluhu amesema kwamba rais Magufuli alianza kuugua mnamo tarehe 6 mwezi Machi…