Dodoma FM
Malezi
19 May 2021, 8:13 am
Wazazi waaswa malezi bora ya watoto
Na; Tosha Kavula Jamii imetakiwa kufanya kazi pamoja katika kuhakikisha watoto wanapata malezi ya wazazi wote wawili kutokana na kuongezeka kwa wimbi la watoto kubadilika tabia.. Ushauri huo umetolewa na baadhi ya wazazi jijini hapa wakati wakizungumza na Dodoma Fm…
21 April 2021, 10:44 am
Jamii yatakiwa kutambua kuwa haki sawa katika malezi itapunguza ukatili wa kijin…
Na; Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kuhakikisha inatoa haki sawa katika malezi kwa watoto wao wa kike na wakiume ili kuleta usawa wa kijinsia na kupunguza vitendo vya ukatili kwenye jamii. Wito huo umetolewa na afisa ustawi wa jamii Dodoma Bi.Faudhia…